News Tanzania » Pwani: Meli ya mafuta yenye bendera ya Tanzania kutoka Yemen yatekwa nyara na maharamia wa Somalia
News channel or source: https://www.rfi.fr/sw/e-a-c/20260720-meli-ya-mafuta-yenye-bendera-ya-tanzania-kutoka-yemen-yatekwa-nyara-na-maharamia-wa-somalia
Published on: Sunday 19 July 2026
Meli ya mafuta yenye bendera ya Tanzania imetekwa nyara na maharamia wanaoshukiwa kuwa wa Somalia katika pwani ya Yemen, vimebaini vyanzo vya usalama na maafisa wa eneo hilo kuhusu tukio hilo.
News Tanzania » Pwani: Meli ya mafuta yenye bendera ya Tanzania yatekwa Yemen
News channel or source: https://www.dw.com/sw/meli-ya-mafuta-yenye-bendera-ya-tanzania-yatekwa-yemen/a-78026618
Published on: Sunday 19 July 2026
Meli ya kusafirisha mafuta yenye bendera ya Tanzania imetekwa nyara na watu wanaoshukiwa kuwa maharamia wa Kisomali katika pwani ya Yemen.
News Tanzania » Pwani: Yote unayotakiwa kuyafahamu kuhusu Kimbunga Hidaya
News channel or source: https://www.bbc.com/swahili/articles/cw4dxp4gyzvo
Published on: Friday 03 May 2024
Pwani ya Afrika Mashariki hususan Tanzania inatazamiwa kukumbwa na Kimbunga Hidaya ambacho kitasababisha mvua kubwa. Mapema wiki hii Mamlaka ya hali ya Hewa Tanzania (TMA) ilitangaza kuwepo kwa ...
Tanzania News » Pwani